Go to home
|
Zimeni
simu zenu mkiwa MKUTANONI !
Wanamdahalo wamelalamikia baadhi ya wanamdalo kuacha simu zao zikiwa On na
kuleta Usumbufu kwenye Mdahalo. Akizungumzia tukio hilo mmoja wa wana mdahalo
(Jina kapuni) Alisema huo ni ushamba tuu,Vilevile inaharibu Tension ya watu
walio makini kusikiliza kinachoendelea ,"Unajua watu wengine tunapokuwa
tunasikiliza kwa makini kikitokea kitu tofauti tunama kabisa kiakili na kupoteza
yale ya muhimu"
Ushauri ulioptolewa na waandaaji ni kwamba mtu anapoingia na
simu basi aweke Vibration kama haina Basi Aizime kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
mimi nawaambia
Acheni hizo bwana
|
|
*Usisahau
kujiandikisha ili utumiwe mialiko ya Kila MWEZI
click here
|
Kumi kuudhuria Dialogue
TGDLC
Bonyeza
hapa!
Kutana na Waandaaji Wapya Wa Midahalo wa Vijana
Organizes
Kama kuna mtu ana Habari yoyote inayohusiano na Vijana au anaona kama Habari
yooyte inaweza kuwafaidisha Vijana,Vilevile kama unataka kuwa na Page yako
ambayo itakuelezea wewe binafsi,Tuandikie kwa Kupitia E-mail yetu
youth@youthdialogue.zzn.com
NB:Ukitaka ukurasa wako Binafsi kumbuka kuandika kila kitu kinachokusu na
ambacho utataka kionekane kwenye Huo ukurasa wako
|